HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, October 18, 2015

MCHEZO WA FAINALI MPIRA WA MIGUU W/MJINI &W/MAGHARIBI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akimkabidhi kombe la Mchezo wa fainali ya Zanzibar Cup 2015 Mpira wa Miguu Nahodha wa Timu ya Wilaya ya Mjini Abubakar  Ameir Omar uliochezwa katika uwanja wa Amaan Studiuam Mjini Unguja jana,Mchezo huo ulimalizika kwa Wilaya ya Mjini kuwafunga W/Magharibi kwa matuta 3-1.
[Picha na Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad