Kijana Ephrahim Maksoni akipita juu ya reli kwa baiskeli maeneo ya Nguruka Mkoani Kigona
Abiria wakiteremka toka ndani ya Basi la Saratola likitokea Nguruka kwenye kituo kipya cha mabasi kilichopo Masanga Gungu mkoani kigoma
Wafanya biashara wa chumvi wakiwauzia abiria waliokuwa wakisafiri na basi lililokuwa likitoka Nguruka kuelekea Kigoma
Wakichota maji eneo katika kituo cha mabasi mjini Kaliua mkoani Tabora
Wananchi wakikata tiketi katika kituo kipya cha Stendi ya mabasi ya Mikoani kilichopo Masanga Gungu mkoani kigoma, ambapo kuingia huingia bure na kutoka huwalazimu kutoa sh. 200. Picha na Khamisi Mussa

No comments:
Post a Comment