Saturday, May 2, 2015

DOGO ANUSULIKA KUPIGA MWELEKA.

Dogo huyu alie kuwa na baiskeli mbili moja akiendesha nyingine aki isukuma pembezoni mwa barabara eneo la mafiati jijini mbeya anusulika kupiga mweleka katikati ya barabara kwani lolote lingeweza kutokea hapa.

No comments:

Post a Comment