HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, March 3, 2014

MASHABIKI WA TIMU NEW GENERATION WAMSHUSHIA KIPIGO MWAMUZI HUKO MJINI MOSHI

Mwamuzi Kabwe Corona akirushiwa maneno na wachezaji wa timu ya New generation inayoshiriki ligi daraja la tatu ngazi ya mkoa wa Kilimanjaro.
Mashabiki wanaodaiwa kuwa ni wa timu ya New Generation wakivamia uwanja kwa ajili ya kutoa kichapo kwa mwamuzi.
Mwamuzi Corona Kabwe akijitahidi kujitetea.
Baadae New generation wakakubali penati ipigwe.
Kocha wa timu ya New generation Isaack Gamba akitulizwa na kocha Norman Kayange wakati akilalamikia penati hiyo.
Baada ya penati kupigwa na goli kufungwa mashabiki wakamgeuza asusa mwamuzi Kabwe Korona.
Mwamuzi wa akiba Henry Lymo pia alitishwa kidogo hapa.
Hivyo hali ilibadilika uwanjani na mchezo ukavunjika.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad