Kamera yetu ilibahatika kukutana na wakazi hawa wa Mji wa Mkata,wakiwa na madumu yao kwenye foleni ya kuteka maji yanayotoka kwenye moja ya gari lililokuwa limeegeshwa kwa juu hapo pembeni.hii ni kutokana na uhaba wa maji unaoendela katika maeneo mbali mbali hapa nchini.
Wednesday, July 10, 2013
Home
Unlabelled
maji bado ni kitendawili kwa baadhi ya maeneo hapa nchini
maji bado ni kitendawili kwa baadhi ya maeneo hapa nchini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment