Mkurugenzi wa kamati ya Miss Tanzania,Hashim Lundega akiongea na warembo wanaowania taji la Redd's Miss Kinondoni 2013 mara baada ya kuwatembelea kambini kwao ili kuona Maendeleo yao. Lundenga aliwaasa washiriki hao kuongeza bidii katika mazoezi yao ili waweze kufanya vyema katika fainali yao.
Mkuu
wa Itifaki wa Kamati ya Miss Tanzania, Albert Makoye akiongea machache
wakati kamati hiyo ilipotembelea Kambi ya Mazoezi ya Redd's Miss
Kinondoni 2013 iliyopo katika hoteli ya JB Belmont hoteli jijini Dar es Salaam. Wengine pichani kutoka upande wa mkuu wa Itifaki ni katibu
Bosco Majaliwa, Mkurugenzi wa kamati ya Miss Tanzania Hashim Lundega,
mjumbe wa kamati hiyo, Lucas Rutta wakiwa pamoja muandaaji wa mashindano
hayo Dennis Ssebo.
Warembo wa Redds Miss Kinondoni wakiwa wamejipanga mara baada ya kumaliza mazoezi.
No comments:
Post a Comment