Rais Jakaya Kikwete akimsikiliza kwa makini Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti, Raphael Mwamoto wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wakati alipotembelea banda la NHIF ambalo linatoa huduma ya upimaji afya bure na elimu ya Bima ya Afya.
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akifurahi jambo na Ofisa Elimu kwa Umma, Grace Michael alipotembelea banda la Mfuko.
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa NHIF, Raphael Mwamoto akitoa maelezo kwa Waziri wa Kazi na Ajira, Mama Kabaka na Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano, Samia Suluhu ambao pia walipata huduma ya upimaji wa afya zao.
Waziri Kabaka akipima shinikizo la damu kwenye banda la NHIF ambalo lilitoa huduma bure.
Wananchi wakiwa kwenye foleni ya upimaji wa afya bure kwenye banda la NHIF.
No comments:
Post a Comment