HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, April 30, 2012

Maandalizi ya Redd's Miss Ustawi wa Jamii yapamba moto

 Washiriki wa kinyang'anyiro cha Redd's Miss Ustawi wa Jamii 2012 wakiwa kwenye picha ya pamoja na Mwalimu wao,Mary Boniface (katikati) wakati wa mazoezi ya kujiandaa na shindano lao linalotaraji kufanyika siku ya ijumaa (Mei,4 2012),ukumbi wa Maisha Klab jijini Dar es salaam.
 Warembo wa Redd's Miss Ustawi wa Jamii 2012 wakiwa kwenye pozi.
 Mwalimu wa Dansi kwa Warembo wa Redd's Miss Ustawi wa Jamii 2012 akitoa somo kwa warembo hao.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad