HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, January 9, 2011

daladala lilapoleta mushkeri kabla ya kumaliza safari yake

kamera ya Mtaa kwa Mtaa iliinasa daladala hii ikiwa imeharibika katikati ya safari na kulazimika kushusha abiria woote,ila kondakta alitaka kuingia mitini na bahati nzuri alidakwa na mmoja wa abiria wa daladala hiyo na kuwekwa mtu kati mpaka akarudisha nauli za abiria wote.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad