HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, November 7, 2010

tamasha la mitikisiko jijini mbeya

Kikundi cha black ninja kikionyesha umahili wao wa kareti kwenye tamasha la mtikisiko lilifanyika uwanja wa Sokoine Mbeya na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.
Mmoja wa wasanii chipukizi wa mbeya akikonga nyoyo za watu katika tamasha la mtikisiko lililofanyika uwanja wa Sokoine jijini Mbeya na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.
Mtangazaji na mratibu wa Tamasha toka Ebony Fm, Eddo Bashiri akiwasisimua wakazi wa mbeya wakati wa Tamasha la mtkisiko lili fanyika uwanja wa Sokoine Mbeya na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad