HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, June 27, 2010

miaka 10 ya twanga pepeta lidaz klabu leo

safu ya ushambuliaji ya wana wa kutwanga na kupepeta
Victor Mkambi akiwajibika
kiduku kikichezwa
waimbaji wa bendi ya twanga pepeta wakifanya vitu vyao jukwaani leo wakati wa maadhimisho ya miaka kumi ya Kutwanga na Kupepeta katika viwanja vya lidaz klabu.
wanenguaji wa twanga pepeta wakiongozwa na mama lao Aisha Madinda wakionyesha vitu vyao katika maadhimisho ya miaka 10 ya bendi hiyo.
mkaanga chips wa siku nyingi katika bendi ya twanga pepeta,Abou Semhando a.k.a Baba Diana akiwajibika
MCD na tumba zake kama kawa.
Prof Jay akiwapagawisha mashabiki waliofika katika viwanja vya lidaz klabu kusherehekea maadhimisho ya miaka 10 ya bendi ya twanga pepeta.
Mwanamuziki wa nyimbo za asili toka nchini Kenya,Thomas Nyadungo nae alikuwepo katika maadhimisho ya miaka 10 ya bendi ya twanga pepeta.
mzee wa Shikide,Dully Sykes akifanya vitu vyake
watu kibao walifika lidaz leo kushuhudia maadhimisho ya miaka 10 ya bendi ya twanga pepeta.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad