Meneja wa Bia ya Kilimanjaro,George Kavishe akimkabidhi viatu kocha wa timu ya Ilala,Jamhuri Kiwelu "Julio" kwa ajili ya timu yake hiyo iliyoingia katika hatua ya robo fainali ya mashindano ya Kili Taifa Cup yatakayoanza kutimua vumbi katika hatua hiyo ya robo fainali ndani ya uwanja wa Uhuru jijini Dar
Saturday, May 22, 2010

Home
Unlabelled
TBL Yazipatia Viatu Timu Nane Zilizoingia Robo Fainali katika Mashindano Ya Kili Taifa Cup
TBL Yazipatia Viatu Timu Nane Zilizoingia Robo Fainali katika Mashindano Ya Kili Taifa Cup
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment