HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, April 21, 2010

Mbilenge Mbilinge La Mgambo Wa Jiji Na Wamachinga

Mgambo wa Jiji wakiwa wamemkamata mmoja wa wamacchinga waliokuwa wakifanya biashara nje ya soko la Karime kinyume na taratibu.
nusura ngumi zipigwe kati ya mgambo na chinga
wakiendelea kukusanya pamba zilizokuwa zikiuzwa na wamachinga hao
jamaa baada ya kuushtukia mchezo wa mgambo wa jiji walianza kutoka nduki kuokoa mali zao.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad