HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, February 20, 2010

Mdau Chibiriti Akidumisha Mila

Mdau Chibiriti (kushoto) kila mara anapokuja hapa Bongo basi ni lazima afike katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Makalala,kilichopo mkoani Iringa.na akifika huko ni lazima asaidie kazi za pale kituoni.na hapa yupo katika kusaidia kupukuchua mahindi makavu ili yakakobolewe na kusagwa kwaajili ya chakula cha watoto hao.unaweza tembelea Blog yake aliyoianzisha kwa ajili ya kituo hicho kupitia HAPA

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad