gari kubwa la kubeba mizigo likiwa limepaki katikati ya njia ya mtaa wa Agrey street huku gari zingine zikiwa zimesimama kusubiri lori hilo limalize kushusha mzigo ili na wengine waweze kupita.swala hili la magari haya kupaki katikati ya njia limekaaje wadau??
No comments:
Post a Comment