Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeanza Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura awamu ya Pili, mzunguko wa kwanza na uwekaji wazi wa Daftari la awali kwa mikoa 15 nchini ikiwemo na mkoa wa Rukwa kuanzia tarehe 01 Mei, 2025 hadi tarehe 07 Mei, 2025 ambapo vituo vitafunguliwa kuanzia saa 2:00 asubuhi na kufungwa saa 12:00 Jioni.





No comments:
Post a Comment