Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara Alphayo Kidata (kushoto) akipokea vifaa mbali mbali kwa ajili yakujikinga dhidi ya janga la Corona kutoka kwa Kaimu Meneja wa tawi la NMB Mtwara Rosemary Moshi, ikiwa ni sehemu ya misaada inayotolewa na benki hiyo nchi nzima.
Tuesday, June 2, 2020

Home
HABARI KIJAMII
Benki ya NMB yakabidhi vifaa mbalimbali kujikinga na janga la Corona mkoani Mtwara
Benki ya NMB yakabidhi vifaa mbalimbali kujikinga na janga la Corona mkoani Mtwara
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment