Tuesday, May 29, 2018

RAIS DKT. MAGUFULI ALIPOWAANDALIA FUTARI WAGENI MBALIMBALI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha kufuturu Waziri wa masuala ya Dini wa Saudia Arabia Dkt. Saleh Abdulaziz Alashek Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Mei 28, 2018
 Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Aboubakary Zubeiry Ally akiswalisha viongozi na waalikwa mbalimbali swala ya Magharibi kabla ya futari iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Mei 28, 2018.
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha kufuturu Waziri wa masuala ya Dini wa Saudia Arabia Dkt. Saleh Abdulaziz Alashek Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Mei 28, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha kufuturu Waziri wa masuala ya Dini wa Saudia Arabia Dkt. Saleh Abdulaziz Alashek Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Mei 28, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha kufuturu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheik Aboubakary Zubeiry Ally  Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Mei 28, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na wageni wake wakiingia ukumbinini kufuturu Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Mei 28, 2018
 Waziri wa masuala ya Dini wa Saudia Arabia Dkt. Saleh Abdulaziz Alashek akipakua futari akiwa ameongozana na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Balozi wa Saudi Arabia nchini Mhe. Mohamed bin Mansour al Malik Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Mei 28, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na akikaribisah wageni wake kuchukua futari na kufuturu Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Mei 28, 2018
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na akikaribisah wageni wake kuchukua futari na kufuturu Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Mei 28, 2018
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na akikaribisah wageni wake kuchukua futari na kufuturu Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Mei 28, 2018
 Mawaziri Wakuu Wastaafu Dkt. Salim Ahmed Salim, Jaji Joseph Sinde Warioba na waalikwa wengine wakichukua futari Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Mei 28, 2018
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akijiunga na wageni mbalimbali kuchukua futari aliyowaandalia 
Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Mei 28, 2018  
 Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi akiwa na Jaji Mkuu Profesa Inbrahim Juma na  Kaimu Mkurugenzi wa Mashariki ya Kati kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikianowa Afrika Mashariki, Bw. Suleiman Salehe wakichukua futari

 Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo (kushoto) akifuatiwa na Inspekta Jenerali wa Polisi Simon Sirro, Inspekta Jenerali wa Magereza Dkt. Juma Malewa (wa pili kulia) na wageni wengine wakichukua futari iliyoandaliwa na  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Mei 28, 2018   
 Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mama Janeth Magufuri, Mama Mary Majaliwa, Mama Anna Mkapa na Mama Khadija Mwinyi wakiongea baada ya kupata  futari iliyoandaliwa na  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Mei 28, 2018  
 Kamishna  Jenerali wa Uhamiaji Dkt. Anna Makakala (kulia) akiwa na Mama Evelyn Warioba wakiwa katika futari hiyo
 Waalimwa wakibadilishana mawazo baada ya kufuturu Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Mei 28, 2018
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa meza kuu na Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein pamoja na Mufti wa Tanzania Sheikh Aboubakary Zubery mara baada ya kufuturu Ikulu jijini Dar es Salaam. Kulia kwake ni Waziri wa masuala ya Dini kutoka Saudia Arabia Dkt. Saleh Abdulaziz Alashek na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Philip Mangula
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na  Waziri wa masuala ya Dini wa Saudia Arabia Dkt. Saleh Abdulaziz Alashek na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Philip Mangula kwenye futari aliyoandaa
Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Mei 28, 2018 
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa amekaa  na Rais mstaafu wa awamu ya Tatu Benjamin Mkapa wa pili kutoka kulia, Rais mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi, Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Malecela, Makamu wa Rais Mstaafu Dkt. Mohamed Gharib Bilal, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi pamoja na viongozi na wageni mbalimbali walioshiriki Futari iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es Salaam.
  Waalikwa wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufulibaada ya futari aliyowaandalia Ikulu jijini Dar es Salaam.
  Waalikwa wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufulibaada ya futari aliyowaandalia Ikulu jijini Dar es Salaam.

  Waalikwa wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufulibaada ya futari aliyowaandalia Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wageni mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi walioshiriki katika futari aliyowaandalia Ikulu jijini Dar es Salaam.
   Waalikwa wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufulibaada ya futari aliyowaandalia Ikulu jijini Dar es Salaam.
   Waalikwa wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufulibaada ya futari aliyowaandalia Ikulu jijini Dar es Salaam.
   Waalikwa wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufulibaada ya futari aliyowaandalia Ikulu jijini Dar es Salaam.
   Waalikwa wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufulibaada ya futari aliyowaandalia Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mama Janeth Magufuri, Mama Mary Majaliwa, Mama Anna Mkapa na Mama Khadija Mwinyi wakati wa  futari iliyoandaliwa na  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Mei 28, 2018  
   Waalikwa wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufulibaada ya futari aliyowaandalia Ikulu jijini Dar es Salaam.
   Waalikwa wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufulibaada ya futari aliyowaandalia Ikulu jijini Dar es Salaam.
   Waalikwa wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufulibaada ya futari aliyowaandalia Ikulu jijini Dar es Salaam.
   Waalikwa na viongozi mbalimbali wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli baada ya futari aliyowaandalia Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Waalikwa na viongozi mbalimbali wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli baada ya futari aliyowaandalia Ikulu jijini Dar es Salaam.

 Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa na Rais Mstaafu Mhe. Benjamin Mkapa na waalikwa wengine wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufulibaada ya futari aliyowaandalia Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Waalikwa wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufulibaada ya futari aliyowaandalia Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa masuala ya Dini wa Saudia Arabia Dkt. Saleh Abdulaziz Alashek akiongea baada ya futari Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Mei 28, 2018
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza kwa hotuba  Waziri wa masuala ya Dini wa Saudia Arabia Dkt. Saleh Abdulaziz Alashek bada ya futari Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Mei 28, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza kwa hotuba  Waziri wa masuala ya Dini wa Saudia Arabia Dkt. Saleh Abdulaziz Alashek bada ya futari Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Mei 28, 2018
 Mufti Mkuu wa Tanzania akiongea baada ya futari Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Waalikwa na viongozi mbalimbali wakimsikiliza Mufti Mkuu wa Tanzania akiongea baada ya futari Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Waalikwa na viongozi mbalimbali wakimsikiliza Mufti Mkuu wa Tanzania akiongea baada ya futari Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Waalikwa na viongozi mbalimbali wakimsikiliza Mufti Mkuu wa Tanzania akiongea baada ya futari Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wageni wake baada ya futari aliyowaandalia Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wageni wake baada ya futari aliyowaandalia Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wageni wake baada ya futari aliyowaandalia Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein na Rais Mstaafu Mhe. Benjamin Mkapa baada ya kufuru Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Makamu wa Rais Mstaafu Dkt Mohamed Ghalib Bilali baada ya kufuru Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Rais mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi mara baada ya kufuru Ikulu jijini Dar es Salaam.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana ujumbe kutoka Saudi Arabia mara baada ya kufuru Ikulu jijini Dar es Salaam.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Jaji Mkuu Profesa Ibrahim Juma baada ya kufuru Ikulu jijini Dar es Salaam.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Mhe. Job Ndugai baada ya kufuru Ikulu jijini Dar es Salaam.

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Spika wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar Mhe. Zuberi Ali Maulid baada ya kufuru Ikulu jijini Dar es Salaam.

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Alhad Mussa Salum baada ya kufuru Ikulu jijini Dar es Salaam.

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangwalla baada ya kufuru Ikulu jijini Dar es Salaam.

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na IGP Simon Sirro baada ya kufuru Ikulu jijini Dar es Salaam.

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo baada ya kufuru Ikulu jijini Dar es Salaam.
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Inspekta Jenerali wa Magereza Dkt. Juma Malewa baada ya kufuru Ikulu jijini Dar es Salaam.
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na vingozi mbalimbali baada ya kufuru Ikulu jijini Dar es Salaam.

 Rais mstaafu wa awamu ya Tatu Mhe. Benjamin Mkapa, Rais mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi, Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Malecela na Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana wakitoka ukumbini baada ya futari.
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na Waziri wa masuala ya Dini wa Saudia Arabia Dkt. Saleh Abdulaziz Alashek na  Balozi wa Saudi Arabia nchini Mhe. Mohamed bin Mansour al Malik baada ya kufuturu Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Mei 28, 2018

 Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Majeshi ya Ulinsi Jenerali Venance Mabeyo baada ya futari
 Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangwalla akiongea na wakuu wa wilaya za Kinondoni, Mhe. Ally Hapi, Temeke Mhe. Fekix Lyaniva na wa Kigamboni Mhe. Hashim Mgandilwa baada ya kufuturu
 Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo akizungumza na Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Aboubakary Zubeiry Ally na Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Alhad Mussa Salum baada ya futari
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu Dkt. Salim Ahmed Salim. Nyuma yake ni Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba baada ya kufuturu
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na IGP Simon Sirro  baada ya kufuturu
 Katibu Mkuu wa CCM mstaafu Ndg. Abdulrahman Kinana akiongea na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo, Inspekta Jenerali wa Magereza Dkt. Juma Malewa na IGP Simon Sirro
 Mawaziri wakuu wastaafu Dkt. Salim Ahmed Salim na Jaji Joseph Sinde Warioba na wake zao Mama Evelyn Warioba na Mama Amne Salim
 Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa ameongozana na Mama Janeth Magufuli na Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dkt. Anna Peter Makakala
 Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na IGP Simon Sirro
 Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM mstaafu Ndg. Abdulrahman Kinana
 Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Makamu wa Rais Mstaafu Dkt.  Mohamed Ghalib Bilali
 Mama Janeth Magufuli akiwa na Mama Mary Majaliwa na Mama Asha Bilali na Mama Zakia Bilali
 Mama Janeth Magufuli akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Philip Mangula
 Mama Janeth Magufuli akisalimiana na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan
 Mama Janeth Magufuli akisalimiana na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa
 Mama Janeth Magufuli akiongea na Katibu Mkuu wa CCM Mstaafu Ndg. Abdulrahman Kinana
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa masuala ya Dini wa Saudia Arabia Dkt. Saleh Abdulaziz Alashek, Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Aboubakary Zubeiry Ally na Shehe Mkuu wa Dar es salaam Alhad Mussa Salum baada ya kufuturu Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Mei 28, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mama Amne Salim 
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimtambulsiha Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Juma  kwa Waziri wa masuala ya Dini wa Saudia Arabia Dkt. Saleh Abdulaziz Alashek baada ya futari Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Mei 28, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na viongozi mbalimbali baada ya futari  Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Mei 28, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.  Zuberi Ali Maulid baada ya futari Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Mei 28, 2018.
Picha na IKULU

No comments:

Post a Comment