HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, January 8, 2017

TANZIA

Familia ya marehemu Julius Dunstan Mganga wa 21 Ali Hassan Mwinyi Road (Old Bagamoyo Rd)
Dar es salaam, wanasikitika kutangaza kifo cha mama yao mpendwa Flora Agnes Mganga kilichotokea tarehe 7 Januari 2017 katika hospital ya Muhimbili, Dar es Salaam.

Mazishi yatafanyika siku ya jumanne Tarehe 10 Januari,2017 kama ifuatavyo:

5.00 - 7.00 Mchana heshima za mwisho nyumba kwa marehemu 21 Ali Hassan Mwinyi Road,Dar es salaam
8.00 - 9.30 Misa St. Peters church Oysterbay
10.00 Mazishi makaburi ya Kinondoni

Raha ya milele umpe eeh Bwana na Mwanga wa milele umwangazie, apumzike kwa amani,AMINA




No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad