Kocha wa mchezo wa masumbwi nchini, Rajabu Mhamila 'Super D' (katikati) akiwa na Bondia Ibrahimu Class (kulia) na Joe Anena katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam kabla ya safari yao kuelekea nchini Berlin kunako mpambano wa marudio kati yake na Bondia Zapir Rasulov, baada ya lile la kwanza kushinda kwa point kule nchini Panama City, Panama na kurudi na ubingwa.
No comments:
Post a Comment