HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, March 10, 2016

WAZIRI MWAKYEMBE AKIONGEA NA WATENDAJI WA TUME YA HAKI ZA BINADAMU.

 Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Wakili Bahame Nyanduga akimuelezea Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Harrison Mwakyembe juu ya utendaji kazi waTume hiyo na changamoto mbalimbali wanazozikabili . Mazungumzo hayo yalifanyika ofisini kwa Waziri leo  jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Harrison Mwakyembe akifafanua jambo wakati wa mazungumzo na watendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, yaliyofanyika ofisini kwake leo jijini Dar Es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad