Mifuko ya saruji 220 yenye thamani ya Zaidi Tsh
milioni 3.

Meneja
wa kanda ya nyanda za juu kusini wa PPF Bw. Ephrahim Mwaikenda
akimkabidhi msaada wa saruji mifuko 220 yenye thamani ya Zaidi Tsh
milioni 3 kwa Mkuu wa shule ya Sekondari Idodi, Christopher Mwasomola
kwaajili ya kujengea majengo yaliyoungua moto katika shule ya Sekondari
Idodi iliyopo tarafa ya Idodi mkoani Iringa.
No comments:
Post a Comment