
Fagio likiinuliwa hapo na dogo huyo...
hapa akiwa ameinukia kidogo ili apate kidogo nafasi ya kufagia sawiaa...
dogo akiendelea kupiga fagio..
fagio katika usafi na dogo huku akiwa amepiga ndala moja tuu...
ubizee...
hapo dogo akikausha maji kwenye uwanja huo kuendeleza usafi...
haya ndio mambo yanayo takiwa tuwafundishe watoto zetu sio yaleee ya nani hii...
No comments:
Post a Comment