Wananchi wakiangalia kifaa kilichotengenezwa na Mamlaka ya Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) kwa ajili kusoma kiwango cha maji kwa bei uliyoweka na fedha yake unatumbukiza kisha maji yanaanza kutoka walipotembelea maonyesho ya 39 ya Kimataifa Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam leo.
Wananchi wakiwa katika Harakati za kutembelea mabanda ya maonyesho ya 39 ya Kimataifa Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

Ofisa wa JKT akionyesha wananchi jinsi wanavyofuga kwa kisasa katikamaonyesho ya 39 ya Kimataifa Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. (picha na Emmanuel Massaka).
No comments:
Post a Comment