Saturday, February 14, 2015

CHANDIMU KIKIPIGWA MTAANI

 Vijana wanaojishughulisha na gari ndogo za kupakia mizigo katika soko la Kariakoo,jijini Dar wakilisakata kabumbu (chandimu) katika eneo ma maegesho ya magari wakati wakiendelea kusubiria wateja.
 mambo yakiendelea.
hayaaa chukua hiyooo.

No comments:

Post a Comment