HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, January 15, 2014

Maisha Plus / Mama Shujaa wa Chakula imerudi tena.

Zimebaki siku 9 tu za kujaza fomu ya ushiriki.

1. Kijana wa Tanzania, Burundi, Rwanda, Kenya, Uganda mwenye umri wa kati ya miaka 21 - 26, jaza fomu ya kushiriki shindano la Maisha Plus moja kwa moja mtandaoni kwa kubofya hapa

2. Kama wewe ni mkulima mwanamke mwenye umri wa miaka 18 mkazi wa Tanzania ama unamfahamu yeyote, jaza fomu moja kwa moja kwa kubofya hapa --> http://maishaplus.tv/MamaShujaaFomu2014.html

Tunawatakia kila la Kheri.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad