Redds
Miss Ilala 2012, Noela Michael akiwa na mshindi wa pili Magdalena
Munisi (kulia) na mshindi wa tatu Mary Chizi (kushoto) mara baada ya
kutangazwa kuwa mshindi wa shindano la Redds Miss Ilala 2012.
Noela
Michael mwenye umri wa miaka 19, kutoka Tabata usiku wa kuamkia
leoalitwaa taji la Redds Miss Ilala 2012 katika ukumbi wa Nyumbani
Lounge,Namanga, Dar es Salaam.
Noela
ambaye amemaliza kidato cha sita, anajiandaa kuingia Chuo Kikuu chaDar
es Salaam (UDSM), aling’ara katika usiku huo ambao alipata upinzani
mkalikutoka kwa Magdalena Roy Munisi mwenye umri wa miaka 21, ambae ni
redds MissDar City Centre aliyeshika nafasi ya pili.
Kimwana
Mary Chizi alikuwa ana usiku mzuri pia jana, kwani pamoja na kutwaataji
la mrembo mwenye kipaji zaidi na kupata Sh. 500,000, pia alishika
nafasiya tatu na kuungana na wenzake hao wawili kwenda Redds Miss
Tanzania.
Katika
shindano hilo liliosindikizwana burudani ya wasanii Wane Star, Chegge,
T Africa kutoka Temeke, Spencer Groupna Machozi Band, mshindi wa nne
alikuwa Mecktilda Martin mwenye umri wa miaka19, kutoka Redds Dar City
Centre na wa tano alikuwa mrembo Elizabeth Prettymwenye umri wa miaka 21
kutoka Ukonga.
Washiriki
wengine ni Suzan Deodatus, Whitness Michael, Stella Moris,
WilminaMvungi, Zawadi Mwambe, Rehema Said, Diana Simon, Amina Sangwe na
Phillios Lemi.
Kwa
ushindi huo, Noela anayerithi taji la Salha Israel ambaye pia ni
MissTanzania 2011, alijipatia kitita cha Sh. Milioni 1.5, wakati
Magalenda alipataMilioni 1.2 na Merry 700,000.
Mecktilda
na Elizabeth kila mmoja atapata 400,000 wakati wengine wote,Washiriki
wengine ni Suzan Deodatus, Whitness Michael, Stella Moris,
WilminaMvungi, Zawadi Mwambe, Rehema Said, Diana Simon, Amina Sangwe na
Phillios Lemikila mmoja atapata Sh. 200,000. Zawadi zote zinatarajiwa
kutolewa katika ukumbiwa Nyumbani Lounge, sambamba na pati maalum.
Noela
sasa anakabiliwa na changamoto situ ya kutetea tu taji la Redds Miss
Ilala, bali kuendeleza rekodi nzuri yakanda hiyo katika Redds Miss
Tanzania iliyowekwa na akina Hoyce Temu,Jacqueline Ntuyabaliwe, Angela
Damas Mutalimwa na Salha.
Awali
akizungumza ndani ya ukumbi huomratibu wa Redds Miss Kanda ya Ilala
Gadna Habash alisema warembo wotewalioshiriki mwaka huu kupitia kanda ya
ilala wameweza klupata fursa kubwa yakujifunza mambo mbalimbali
yatakayowapatia mwanga katika maisha yoa hasa katikatasnia ya urembo
nchini.
No comments:
Post a Comment