HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, September 4, 2012

Marehemu Daud Mwangosi azikwa leo

 Waandishi wa Habari wakiwa wamebeba Mwili wa Marehemu kuelekea Makabirini
Wakiwa wanafanya ibada ya Mwisho kabla ya kuanza maziko
Hapa wakiwa wanashusha mwili wa marehemu katika Nyumba yake ya milele
Mwili wa Marehemu Daudi Mwangosi ukiwa tayari katika kaburi.
 Mke wa Marehemu Daudi Mwangosi akiweka Shada la Mauwa kwa machungu
 Mke wa Daudi Mwangosi akiwa analia kwa uchungu katika Kaburi la Marehemu Mumewe.
 Watoto wa Marehemu wakiwawanaweka mashada ya maua sasa.
 Dr Slaa akiweka Shada la maua.
Dr. Slaa baada ya kumaliza kutoa heshima za mwisho
Mh. Mark Mwandosya akiweka taji la maua pamoja na mke wake 
 Rais wa UTPC akiweka shada la Maua.
Mwenyekiti wa Mbeya Press Club akiweka shada la maua 
Mwandishi Mkuu wa Mbeya  yetu Blog, ndugu Joseph Mwaisango akiwa anatoa heshima zake za mwisho katika kaburi.
Wananchi wakiwa wanarejea baada ya mazishi.
Na huu ndio mwisho wa tukio zima la mazishi ya marehemu, Mpiganaji Daudi Mwangosi aliyekuwa mwandishi wa Television ya Chanel 10. 
PICHA KWA HISANI YA MBEYA YETU BLOG.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad