Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji mstaafu Joseph Warioba (kulia) na makamu wake Jaji Mkuu Mstaafu Augustino Ramadhani wakimsikiliza Mjumbe wa Tume hiyo, Waziri Mkuu Mstaafu Dkt. Salim Ahmed Salim (kushoto) leo katika mkutano wa Tume unaolenga kufanya tathmini ya kazi ya kukusanya maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya. Mkutano huo unafanyika katika ofisi za Tume jijini Dar es salaam.
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Alhaji Said El-Maamry akiongea leo katika mkutano wa Tume unaoendelea unaolenga kufanya tathmini ya kazi ya kukusanya maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya. Mkutano huo unafanyika katika ofisi za Tume jijini Dar es salaam.
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Bw. Ally Saleh akiongea leo katika mkutano wa Tume unaoendelea unaolenga kufanya tathmini ya kazi ya kukusanya maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya. Mkutano huo unafanyika katika ofisi za Tume jijini Dar es salaam.
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Bw. Humphrey Polepole akiongea leo katika mkutano wa Tume unaoendelea unaolenga kufanya tathmini ya kazi ya kukusanya maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya. Mkutano huo unafanyika katika ofisi za Tume jijini Dar es salaam.
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Bw. Awadh Ali Said akiongea leo katika mkutano wa Tume unaoendelea unaolenga kufanya tathmini ya kazi ya kukusanya maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya. Mkutano huo unafanyika katika ofisi za Tume jijini Dar es salaam.
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Bw. Rishard Lyimo akiongea leo katika mkutano wa Tume unaoendelea unaolenga kufanya tathmini ya kazi ya kukusanya maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya. Mkutano huo unafanyika katika ofisi za Tume jijini Dar es salaam. (Picha na kwa hisani ya Tume)





No comments:
Post a Comment