HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, August 24, 2012

timu ya taifa ya mchezo wa ngumi yaendelea kujifua jijini dar

Kocha wa mchezo wa ngumi kwa timu ya Taifa,Hasan Mzonge akiwaelekeza mabondia wa timu ya taifa ya masumbwi jinzi ya kupiga ngumi zilizonyooka wakati wa mazoezi ya timu hiyo yanayofanyika katika GMY ya Gmykhana Klabu,jijini Dar es Salaam.
Hasani Mzonge akimwelekeza mmoja wa Mabondia wa Timu ya Taifa jinsi ya kupishanisha ngumi wakati wa kupigana.
Makocha wa timu ya Taifa wakiwaonesha mabondia jinsi ya ngumi zinavyopishanishwa wakati wa mchezo huo.kushoto ni Hasani Mzonge na Edward Luyakwipa
"Unatakiwa mkono wako unyoshe hivi " ndivyo anavyosema Kocha wa mchezo wa ngumi Hasani Mzonge kulia wakati alipokuwa anafundisha mabondia wa timu ya Taifa .
"Unapiga uku unatembea" ndivyo anavyoelekoza kocha wa mchezo wa masumbwi Hasani Mzonge wakati wa Mazoezi ya Timu ya Taifa ya masumbwi yaliyofanyika leo .picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad