Baadhi ya washiriki wa mashindano ya mbio za Baiskeli Kanda ya Ziwa ya ziwa yanayodhaminiwa na Safari Lager wakijiandaa kuondoka kwenda Kahama na kurudi katika Uwanja wa Kambarage ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku Kuu ya Wakulima ya Nane Nane mkoano Shinyanga.
Washiriki wa Mashindano hayo waliendelea kuchanja mbuga kuelekea Kahama na baadae kurejea Shinyanga mjini.
Waendesha baiskeli wanawake ambao nao hawakuwa nyuma katika kushiriki mbio hizo waki tayari kwa safari ya kwenya Kahama na kurudi Shinyanga mjini kwa baiskeli.
Mwendo umekoleoa.




No comments:
Post a Comment