HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, July 22, 2012

taarifa ya msiba jijini dar

Familia ya marehemu Mzee Epaphrodito Mandari inasikitika kutangaza kifo cha Mama yao mpenzi Bibi Louise Mandari kilichotokea tarehe 21 julai 2012 katika hospitali ya Tumaini jijini Dar es Salaam. 

Mazishi yanatarajia kufanyika katika makaburi ya kinondoni jumanne tarehe 24 julai 2012. Bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe. Amen

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad