Miss World @suchaaata Miss Africa @hasset_dereje na Mustafa @mustafahassanali walitembelea wodi ya watoto njiti katika Hospitali ya Mwananyamala pamoja na Doris Mollel Foundation.
Wameguswa na kazi kubwa inayofanywa kuwahudumia watoto njiti na wamepongeza juhudi zinazofanyika na kuahidi kuchangia vifaa tiba na kusaidia hospitali nyingine zaidi kwenye maeneo yasiyofikiwa.







No comments:
Post a Comment