HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, March 14, 2019

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA UGENI KUTOKA TPB BENKI TAWI LA DODOMA

 Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo na Meneja wa TPB Benki Tawi la Dodoma, Edward Mlowo (katikati) alipomtembelea leo tarehe 14 Machi 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Afisa Mikopo TPB Benki Tawi la Dodoma, Hamis Salehe
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Meneja wa TPB Benki Tawi la Dodoma, Edward Mlowo (katikati) walipomtembelea leo tarehe 14 Machi 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Afisa Mikopo TPB Benki Tawi la Dodoma, Hamis Salehe
Spika wa Bunge, Job Ndugai (katikati) katika picha ya pamoja na Meneja wa TPB Benki Tawi la Dodoma, Edward Mlowo (kulia), Afisa Mikopo TPB Benki Tawi la Dodoma, Hamis Salehe (kushoto) walipomtembelea leo tarehe 14 Machi 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad