HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, February 3, 2019

WAZIRI MKUU AKUTANA NA MAWAZIRI, WAKURUGENZI/WATENDAJI WAKUU WA SERIKALI LEO JIJINI DODOMA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akizungumza na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Hussein Mwinyi (kutoka kushoto), Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Alphaxard Lugola, Waziri wa Katiba na Sheria Paramagamba Kabudi na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Augustine Mahiga, ofisini kwake Mlimwa jijjini Dodoma Februari 3, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akioneshwa jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania Richard Mayongera, ofisini kwake Mlimwa jijjini Dodoma Februari 3, 2019. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akizungumza na Mtendaji Mkuu wa Mahakama Hussein Katanga, ofisini kwake Mlimwa jijjini Dodoma Februari 3, 2019

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad