Mkurungenzi wa Huduma za kinga Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dk. Crispin Kahesa
akizungumza katika semina ya kuwjengea uwezo waandisi wa habari iliyofanjika
leo katika ukumbi wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road leo jijini Dar es
Salaam.
Daktari Bingwa
wa Saratani kutoka Taasisi ya Saratani Ocean Road, Nanzake Mvungi akitoa elimu kuhusu kinga dhidi ya saratani pamoja na huduma
zitolewazo na kitengo cha kinga ya Saratani katika Hospitali hiyo.(Picha na
Emmanuel Massaka,MMG)
Meneja Elimu na Huduma za Uchunguzi Saratani kutoka Taasisi
ya Saratani Ocean Road, Dkt. Maguhwa Stephano akizungumza na waandishi wa habari kuhusu tiba ya mionzi pamoja na kuwaomba wananchi waache dhana potofu juu ya tiba hiyo.
Baadhi ya
waandishi wa habari wakiwa katika semina hiyo iliyofanyika katika Taasisi ya
Saratani Ocean Road jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment