HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, February 4, 2019

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN MGENI RASMIN SIKU YA SHERIA ZANZIBAR ZILIZOFANYIKA KISIWANI PEMBA WETE

 JAJI Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu akiongoza maandamano ya Majaji wa Mahakama Kuu Zanzibar wakielekea katika ukumbi wa Mkutano wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba, wakati wa hafla ya maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar,kulia Jaji wa Mahakama Kuu Zanzibar Mhe. Abdulhakim Ameir Issa na kushoto Jaji wa Mahkama Kuu Zanzibar Mhe. Abraham Mwampashi.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa na Viongozi wa Meza Kuu wamesimama ukipigwa wimbo wa Taifa kulia Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu na kushoto Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Mhe Haroun Ali Suleiman.
 WAHESHIMIWA Majaji na Mahakimu na Wananchi wakihudhuria hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar, zilizofanyika Kisiwani Pemba Wilaya ya Wete ukumbi wa Baraza la Wawakilishi
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu, wakiwa katika ukumbi wa hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar, zilizofanyika Wilaya ya Wete Pemba.
 BAADHI ya Mawaziri Makatibu Wakuu na Wananchi wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar, zilizofanyika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba.
 MWAKILISHI wa Chama Cha Wanasheria Zanzibar Mhe. Omar Said Shaban, akitowa salamu za Wanasheria Zanzibar wakati wa hafla ya Maafdhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar.
  JAJI Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu akihutubia wakati wa hafla ya Siku ya Sheria Zanzibar zilizofanyika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizindua Kitabu cha Zanzibar ya Law, wakati wa sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar zilizofanyika katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba, kulia Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu na kushoto Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Sheria Katiba Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Mhe Haroun Ali Suleiman.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akionesha Kitabu cha Zanzibar ya Law baada ya kukizindua katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba wakati wa sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar, zilizofanyika Kitaifa Kisiwani Pemba Wilaya ya Wete, kulia Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu na kushoto Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Mhe. Haroun Ali Suleimin.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar zilizofanyika katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba.
.blogspot.com/-Jszdx-QwbgQ/XFg4P5QQrAI/AAAAAAACoRo/fw9T-zZO4LsDa1Vh632Q3pPpsnl_kW0VQCLcBGAs/s1600/IMG_1935.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">
 JAJI Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu akiongoza maandamano ya Majaji wa Mahakama Kuu Zanzibar wakielekea katika ukumbi wa Mkutano wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba, wakati wa hafla ya maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar,kulia Jaji wa Mahakama Kuu Zanzibar Mhe. Abdulhakim Ameir Issa na kushoto Jaji wa Mahkama Kuu Zanzibar Mhe. Abraham Mwampashi.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa na Viongozi wa Meza Kuu wamesimama ukipigwa wimbo wa Taifa kulia Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu na kushoto Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Mhe Haroun Ali Suleiman.
 WAHESHIMIWA Majaji na Mahakimu na Wananchi wakihudhuria hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar, zilizofanyika Kisiwani Pemba Wilaya ya Wete ukumbi wa Baraza la Wawakilishi
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu, wakiwa katika ukumbi wa hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar, zilizofanyika Wilaya ya Wete Pemba.
 BAADHI ya Mawaziri Makatibu Wakuu na Wananchi wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar, zilizofanyika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba.
 MWAKILISHI wa Chama Cha Wanasheria Zanzibar Mhe. Omar Said Shaban, akitowa salamu za Wanasheria Zanzibar wakati wa hafla ya Maafdhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar.
  JAJI Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu akihutubia wakati wa hafla ya Siku ya Sheria Zanzibar zilizofanyika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizindua Kitabu cha Zanzibar ya Law, wakati wa sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar zilizofanyika katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba, kulia Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu na kushoto Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Sheria Katiba Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Mhe Haroun Ali Suleiman.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akionesha Kitabu cha Zanzibar ya Law baada ya kukizindua katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba wakati wa sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar, zilizofanyika Kitaifa Kisiwani Pemba Wilaya ya Wete, kulia Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu na kushoto Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Mhe. Haroun Ali Suleimin.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar zilizofanyika katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad