HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, February 4, 2019

POLISI TANZANIA YAICHAPA MASHUJAA 1-0

 Mshambuliaji wa timu ya Polisi Tanzania Edga Mfumakule akionyesha umahiri wa kusakata kabumbu wakati wa mchezo wa ligi daraja la kwanza dhidi ya Mashujaa ya Kigoma katika uwanja wa Ushirika Moshi ambapo Polisi walishinda 1-0 (Picha na Jeshi la Polisi).
 Santos Marcelino wa Polisi Tanzania akitamba mbele ya walinzi  wa Mashujaa ya Kigoma wakati wa mchezo wa ligi daraja la kwanza katika uwanja wa Ushirika Moshi ambapo Polisi walishinda 1-0.
 Santos Marcelino wa Polisi Tanzania akiwatoka walinzi wa Mashujaa ya Kigoma wakati wa mchezo wa ligi daraja la kwanza katika uwanja wa Ushirika Moshi ambapo Polisi walishinda 1-0.
Kikosi cha timu ya Polisi Tanzania kilichoanza dhidi ya Mashujaa ya Kigoma wakati wa mchezo wa ligi daraja la kwanza katika uwanja wa Ushirika Moshi ambapo Polisi walishinda 1-0 (Picha na Jeshi la Polisi).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad