HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, January 28, 2019

MATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI JIJINI DODOMA LEO

  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Wabunge wa Viti Maalum, Amina Makilagi (katikati) na Fatma Toufiq kwenye viwanja vya Bunge jijjini Dodoma  Januari 28, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Longido Dkt. Stephen Kiruswa, nje ya jengo la utawata Bungeni jijjini Dodoma  Januari 28, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad