HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, January 30, 2019

MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nishati na Mbunge wa Chato, Dkt. Medard Kalemani, Bungeni jijini Dodoma, Januari 30, 2019. 
   Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wabunge kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Januari 30, 2019. Kutoka kushoto ni Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba, Mbunge wa Kiembe Samaki, Ibrahim Raza, Mbunge wa Kwimba, Shanif Mansoor na Mbunge wa Mpwapwa, George Lubeleje.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Januari 30, 2019.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalum, Mwanne Nchemba kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Januari 30, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana na Wenye Ulemavu ambaye pia ni Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama (wapili kulia), Mbunge wa Kasulu Mjini, Daniel Nsanzugwako (kushoto), Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja (wapili kushoto) na Mbunge wa Igunga,  Dkt. Dalaly Kafumu , kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Januari 30, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad