HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, September 21, 2018

UTT AMIS YAJA NA SULUHISHO LA MAISHA BAADA YA KUSTAAFU KWA WASTAAFU WATARAJIWA WA WIZARA YA FEDHA KUTOKA MIKOA MBALIMBALI

Mkurugenzi wa Masoko na Uhusiano wa UTT AMIS Bw. Daudi Mbaga akiielezea mifuko ya uwekezaji itolewayo na UTT AMIS ni suluhisho la maisha baada ya kustaafu kwa wastaafu watarajiwa wa wizara ya fedha kutoka mikoa mbalimbali katika semina iliyofanyika katika ukumbi wa wizara ya fedha Morogoro.

Baadhi ya washiriki wakiwa katika semina hiyo.

Baadhi ya washiriki wakiwa katika semina hiyo.

Baadhi ya washiriki wakiwa katika semina hiyo.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad