HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, September 3, 2018

NIPE FAGIO NA WADAU WA MAZINGIRA WAFANYA USAFI COCO BEACH IKIWA MAANDALIZI YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI SEPT 15, 2018

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Nipe Fagio, Bi, Ana Rocha (Kushoto) akimkabidhi fagio Meya wa Jiji la Dar es salaam Mh. Isaya Mwita (Kulia) katika tukio lililofanyika ufukwe wa Coco Dar es salaam ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Siku ya Usafi Duniani itakayofanyika tarehe 15 Septemba 2018 kupitia kampeni ya Let’s Do It Tanzania. Picha na Cathbert Kajuna - Kajunason/MMG.
Meya wa Jiji la Dar es salaam Mh. Isaya Mwita  akiongea na wakazi wa jiji la Dar es Salaam waliojitokeza katika usafi wa mazingira katika ufukwe wa Coco Dar es salaam ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Siku ya Usafi Duniani itakayofanyika tarehe 15 Septemba 2018 kupitia kampeni ya Let’s Do It Tanzania. Pembeni ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Nipe Fagio, Bi, Ana Rocha (Kushoto)
Wakazi wa jiji la Dar es Salaam waliojitokeza katika usafi wa mazingira katika ufukwe wa Coco Dar es salaam ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Siku ya Usafi Duniani itakayofanyika tarehe 15 Septemba 2018 kupitia kampeni ya Let’s Do It Tanzania.
Meya wa Jiji la Dar es salaam Mh. Isaya Mwita (Kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Nipe Fagio, Bi, Ana Rocha na Naibu Balozi wa Sweden ambae pia Mkuu wa ushirikiano na maendeleo Mh. Ulf Kallstig wakifanya usafi katika tukio lililofanyika ufukwe wa Coco Dar es salaam ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Siku ya Usafi Duniani itakayofanyika tarehe 15 Septemba 2018 kupitia kampeni ya Let’s Do It Tanzania.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Nipe Fagio, Bi, Ana Rocha akiongea na waandishi wa habari.
Takataka zilizokusanywa na wadau mbalimbali wa Mazingira katika tukio lililofanyika ufukwe wa Coco Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Siku ya Usafi Duniani itakayofanyika tarehe 15 Septemba 2018 kupitia kampeni ya Let’s Do It Tanzania.
Moja ya nyuma iliyojengwa kwa machupa ya plastiki ambayo ni kituo cha mazingira kilichopo Coco Beach jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad