HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, May 17, 2018

YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Tulia Ackson akiongoza  kikao cha thelathini na moja  cha mkutano wa kumi na moja cha Bunge hilo leo Jijini Dodoma.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. Hamad Masauni  akijibu maswali mbali mbali ya wabunge wakati wa  kikao cha thelathini na moja  cha mkutano wa kumi na moja cha Bunge hilo leo Jijini Dodoma.
Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa akimskiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Sera, Bunge, Ajira, Vijana na wenye ulemavu  Mhe.Jenista Mhagama wakati wa  kikao cha thelathini na moja  cha mkutano wa kumi na moja cha Bunge hilo leo Jijini Dodoma.
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Dkt Harrison Mwakyembe akizungumza na Mwanamitindo wa kimataifa Bi.Flaviana Matata  wakati  alipomtembelea leo Bungeni Jijini Dodoma.
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.Dkt.Khamis Kigwangala na Mbunge wa Karagwe Mhe.Innocent Bashungwa wakiwa pamoja na Mwanamitindo wa Kimataifa Bi.Flaviana Matata katika viwanja vya Bunge leo Jijini Dar es Salaam. 
Picha zote na Daudi Manongi-MAELEZO, DODOMA.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad