HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, May 15, 2018

SPIKA JOB NDUGAI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA BALOZI WA USWISI NCHINI TANZANIA

 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Balozi wa Uswisi nchini Tanzania, Ndg. Florence  Mattli (wa pili kushoto) alieambatana na Afisa kutoka Ubalozini, Ndg. Sandrine Denti (wa pili kulia) walipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma. Kulia ni Katibu wa Spika, Ndg. Said Yakubu.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akipokea zawadi  kutoka  kwa Balozi wa Uswisi nchini Tanzania, Ndg. Florence  Mattli (kulia) baada ya mazungumzo yaliyofanyika  leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Uswisi nchini Tanzania, Ndg. Florence Mattli (kulia) baada ya mazungumzo yaliyofanyika  leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
(PICHA NA DEONISIUS SIMBA - OFISI YA BUNGE)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad