Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Balozi wa Uswisi nchini Tanzania, Ndg. Florence Mattli (wa pili kushoto) alieambatana na Afisa kutoka Ubalozini, Ndg. Sandrine Denti (wa pili kulia) walipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma. Kulia ni Katibu wa Spika, Ndg. Said Yakubu.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akipokea zawadi kutoka kwa Balozi wa Uswisi nchini Tanzania, Ndg. Florence Mattli (kulia) baada ya mazungumzo yaliyofanyika leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Uswisi nchini Tanzania, Ndg. Florence Mattli (kulia) baada ya mazungumzo yaliyofanyika leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
(PICHA NA DEONISIUS SIMBA - OFISI YA BUNGE)
No comments:
Post a Comment