HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, May 15, 2018

MWAKILISHI WA JIMBO LA TUNGUU AFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA CHUO KIKUU ZANZIBAR (ZU)

  MWAKILSHI wa Jimbo la Tunguu Simai Mohamed Said akisalimiana na Makamo Mkuu wa Chuo Kikuu Zanzibar (ZU) Pr. Musta Roshash alipofika ofisini kwake Chuoni hapo Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja.
 MWAKILSHI wa Jimbo la Tunguu Simai Mohamed Said akisaini kitabu cha Wageni baada ya kufanya ziara ya kutembelea Chuo Kikuu cha Zanzibar (ZU).
 MWAKILSHI wa Jimbo la Tunguu Simai Mohamed Said katikati akizungumza na Wakuu wa chuo hicho kushoto kweke ni Makamo Mkuu wa Chuo hicho Pr. Musta Roshash kulia ni Mkuu wa Utawala Ahmad Majid Ali.
 MWAKILSHI wa Jimbo la Tunguu Simai Mohamed Said akizungumza na baadhi ya  wanafunzi  wanaotoka Nje ya Nchi ya Tanzania alipofanya ziara ya kutembelea chuoni hapo.
  MWANAFUNZI kutoka Nchi ya Zambia Cristina akizungumzia changamoto na mafanikio mbalimbali zinazowakabili chuoni hapo.
 MWANAFUNZI kutoka Nchi ya Malawi Hassan akichangia baadhi ya changamoto wanazozipata na kumtaka Mwakilishi huyo kuwasaidia kuzitatua changamoto hizo.
 BAADHI ya Wanafunzi kutoka Nje ya Nchi yaTanzania wakimsikiliza Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu alipofanya ziara ya kutembelea Chuoni hapo.
MWAKILSHI wa Jimbo la Tunguu Simai Mohamed Said alievaa suti akipiga picha ya pamoja na wanfunzi wanaoteka Nje ya Nchi ya Tanzania (Picha na Abdalla Omar Maelezo - Zanzibar).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad