HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, March 23, 2016

BASI LA SUPER SAMI LANGUKA WILAYANI IGUNGA MKOA WA TABORA.

Ajali imetokea Wilayani Igunga ikihusisha basi la Super Sami lililokulikitokea Mwanza kwenda jijini Dar es Salaam.

Chanzo cha ajali hiyo ni Dereva alipokuwa akitaka kukwepa Ng'ombe na  gari likamshinda na kuanguka na kusabaisha ajali hiyo.

Watu wakielekea kwenye gari lililopata ajali leo Wilayani Igunga.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad