HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, May 14, 2011

HIVI NDIVYO MAMBO YALIVYO KATIKA BAADHI YA MAENEO YA JIJINI DAR

hapo kitu kinapea kama kawa,tena hata presha hakina.
vituo vya daladala mambo ndio kama hivi tena.
Barabara zote zageuka madimbwi ya maji kama hivi.
Bonde la Jangwani ndio usiseme,kama gari lako sio la foowili basi imekula kwako.
hili sio dampo la kutupia taka,bali ni mtaro wa maji.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad