KAMATI YA BUNGE YA SHERIA KATIKA KIKAO NA WATENDAJI WA WIZARA YA VIWANDA - MTAA KWA MTAA BLOG

HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, January 13, 2023

KAMATI YA BUNGE YA SHERIA KATIKA KIKAO NA WATENDAJI WA WIZARA YA VIWANDA

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo katika kikao na Watendaji wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji wakiongozwa na Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Mhe. Exaud Silaoneka Kigahe.

 Kikao hicho kilichofanyika leo tarehe 13 Januari, 2023 katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma kilikuwa cha kupokea na kujadili Taarifa ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji ya utekelezaji wa Maazimio ya Bunge kuhusu Sheria Ndogo zilizowasilishwa katika Mkutano wa Tano wa Bunge.
PICHA NA BUNGE




 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad