HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, June 7, 2019

WENYE VYOMBO VYA MOTO WANATII SHERIA YA USALAMA BARABARANI?

 Mmoja wa wakazi wa Geita akiwa amepanda bodaboda iliyosheheni mzigo na kukaa kwa mtindo wa Kike, ambao haruhusiwi na Watu wa Usalama barabarani kwani ni hatari kwa abiria huku dereva wake akiwa hajavaa kofia ngumu hali inayohatarisha maisha yao kama ikitokea ajali .PICHA NA HUMPHREY SHAO, MICHUZI BLOG.

1 comment:

  1. You have a good site. It is really easy, and nice to navigate.I think the website is great, looks wonderful and very easy to follow. 네임드라이브스코어네임드라이브스코어

    ReplyDelete

Post Bottom Ad