HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, December 6, 2018

RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK. SHEIN, AZUNGUMZA NA BALOZI WA KOREA NCHINI TANZANIA IKULU LEO

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Mhe. Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana  na Mwakilishi wa Kampuni ya KOLON Nchini Tanzania Ndg.Teger  Lee, kushoto kwa Rais Balozi wa Jamuhuri ya Watu wa Korea Balozi Song Geum –young, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo leo,6-12-2018. (Picha na Ikulu)
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Balozi wa Jamuhuri ya Watu wa Korea, Balozi Song. Geum-young, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha  kwa Rais wa Zanzibar leo 6-12-2018.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Balozi wa Jamuhuri ya Watu wa Korea Nchini Tanzania Balozi Song Geum-young, alipofika Ikulu Zanzibar kujitambulisha na kufanya mazungumzo na Rais wa Zanzibar,leo 6-12-2018.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiagana na mgeni wake Balozi wa Jamuhuri ya Watu wa Korea Nchini Tanzania,Balozi Song Geum-young, baada ya mazungumzo yao yaliofanyika leo Ikulu Zanzibar,6-12-2018.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akibadilishana mawazo na Balozi wa Jamuhuri ya Watu wa Korea Nchini Tanzania.Balozi Song.Geum –young, wakati wakiagana baada ya kumaliza mazungumzo yao leo Ikulu Zanzibar.6-12-2018.(Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad